A

A

Hii ndio Mpya Kutoka Kwa Magufuli,Azui Kutoa Likizo kwa Watumishi wa Wizara yake hadi Madaraja Yajengwe

Waziri wa Ujenzi Dr. John Magufuli amezuia likizo zote kwa watumishi wa Wizara ya Ujenzi na TANROADS, ili kushughulikia ukarabati wa madaraja makubwa zaidi ya 5 ya kuunganisha mikoa, ambayo yamebomolewa na mvua zinazoendelea kunyesha.