A

A

Video: Hivi ndivyo Ronaldo na wenzie walivyoiadhibu Cameroon


article-2574203-1C11EC4200000578-672_636x476Cristiano Ronaldo jana aliingoza Ureno kuitandika timu ya taifa ya Cameroon kwa mabao 5-1 katika mchezo wa kirafiki baina ya timu hizo mbili za taifa.
Mabao ya Ureno na Ronaldo dakika ya Ronaldo 21, 83, Meireles 66, Coentrao 67, Edinho 77. Aboubakar aliifungia Cameroon bao la kufutia machozi

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako