Angalia video na matokeo ya mchezo wa Ufaransa vs Uholanzi
Mchezo wa kirafiki kati ya Uholanzi dhidi ya Ufaransa uliopigwa jana ulimalizika kwa Ufaransa kuitandika Uholanzi mabao 2-0 . Mabao ya Ufaransa yalifungwa mshambuliaji Karim Benzema na kiungo Matuidi anayekipiga PSG.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako