A

A

Abiria wasema ukorofi wa dereva wa Sai Baba ndiyo chanzo cha kifo chake

Mtu mmoja amekufa papo hapo na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Sai Baba walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Kyela mkoani Mbeya kupinduka katika kijiji cha Mwambegele wilayani Rungwe.

Video ya ITV iliyopachikwa hapo chini ina taarifa zaidi...

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako