A

A

Wajumbe wa Bunge la Katiba,Katika hili Ipo siku Watoto Wenu watachapa Viboko Makaburi Yenu

 
Binti huyu analipwa ujira wa sh 50 kwa kila tofari mbili anazobeba kupeleka umbali wa mita kama 500 lakini Kuna Mibunge ya katiba inagomea posho ya sh 300,000/= kwa siku yaani bora Mweshimiwa Rais alivunje bunge Hilo la katiba(Picha na Maelezo kwa Hisani ya Joseph Mwaisango wa Mbeya Yetu.)

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako