Tahadhari,Picha ya Mwili wa Dreva aliyeteketea hii leo Kwenye Ajali ya Roli Mikese-Morogoro
Baadhi
ya watu waliokwama kijiji cha Fulwe kata ya Mikese mkoani Morogoro
wakiangalia mwili wa dereva wa lori lililobeba shehena ya mafuta
lililokuwa likitoka Dar kueleka upande wa Morogoro, ukiwa umeteketea
vibaya kwa moto baada ya ajali.
Mwili wa dereva wa lori la mafuta ukiwa umeteketea kwa moto.
Wananchi wakibeba mwili wa dereva wa lori ulioteketea kwenye moto.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL, MOROGORO)
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako