Msanii wa Comedy Kitale ameamua kununua ugomvi wa msanii wa Bongo
Fleva,PNC na Ustaadh Juma na Musoma baada ya kumdhalilisha msanii huyo
kwa kumrekodi video na kumpiga picha na kuzisambaza mtandaoni.
Baada
kuziona picha hizo Kitale aliamua kumpigia simu Ustaadh Juma na kuuliza
kwanini ameamua kufanya kitendo hicho cha kidhalilishaji ambapo
Ustaadhi Juma alimjibu mbovu.
Zaidi msikilize Kitale akitiririka.
Zaidi msikilize Kitale akitiririka.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako