A

A

Breaking Newz,Ajali yatokea Mikese,Roli la Mafuta linawaka Moto


TAARIFA zilizotufikia hivi punde kutoka Morogoro ni kwamba malori mawili yamegongana eneo la Mikese mkoani humo na kulipuka moto ambapo mojawapo ya lori lilikuwa na shehena ya mafuta! 
Mpaka sasa malori hayo yanaendelea kuteketea kwa moto. 
Taarifa zaidi na picha za tukio hili vitawajia punde

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako