Kilichotokea Baada ya Mtandao wa Wassap kuzimwa,Pia Kauli ya Wamiliki wa Wassap hii hapa
Baada
ya mtandao wa mawasiliano ya ujumbe mfupi wa simu WhatsApp kupata
tatizo kwa masaa machache watumiaji wa
mtandao huo wameingia kwenye
mitandao tofauti na kuanza kulalamika kuhusu facebook kununua mtandao
huo na kuamua kufunga huduma yake ili facebook itumike zaidi. Fahamu
mmiliki wa facebook amelipia dola bilioni 19 kununua mtandao huu.
Kupitia twitter account ya whatsup walitoa taarifa kuwa walipata
tatizo kubwa na wanafanya marekebisha na kuwa mtandao huo utarudi hewani
baada ya muda mfupi.
Hizi ndio twit zao
Mambo haya yalianza kusamba kwenye mitandao kuhusu whatsup kuzimwa.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako