IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
Marehemu Nelson Rolihlahla Mandela enzi za uhai wake.
Leo inafanyika ibada kubwa ya kitaifa
Uwanja wa FNB, Johannesburg kumuaga Nelson Mandela ambapo viongozi
mbalimbali watahudhuria ibada hiyo wakiwemo Rais Barrack Obama na mkewe
Michelle, Rais Jakaya Kikwete, Rais Robert Mugabe na mkewe, Rais Uhuru
Kenyatta na mkewe, Rais Yoweri Museveni, Rais Joyce Banda na wengineo
wengi.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako