Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa katika uwanja wa ndege wa Waterkloof
Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria alikowasili usiku wa
kuamkia leo tayari kuhudhuria mazishi ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini
Mzee Nelson R. Mandela.
Rais
Kikwete akisalimiana na Mwambata wa Kijeshi katika Ubalozi wa Tanzania
Afrika kusini katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko
Kusini mwa jiji la Pretoria
Rais
Kikwete akisindikizwa kuelekea kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa
ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria .
Nyuma yake mwenye ushungi kichwani ni Mama Salma Kikwete
Rais
Kikwete akisindikizwa kuelekea kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa
ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria .
Nyuma yake kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdurahman Kinana. PICHA NA
IKULU
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako