A

A

WATANZANIA WA NEW YORK, NJ, CT NA MA MNAKARIBISHWA KWENYE SHEREHE ZA UHURU DECEMBER 7, 2013 KUNYWA KULA NA KUCHEZA HADI MAJOGOO.


Watu wote mnakaribishwa siku hii ya uhuru kutakuwa na vyakula, vinywaji music na mambo mengi ya kuchangamsha. Unachotakiwa ni kulipa 30$ tu mlangoni njoo tusherekehe siku yetu watanzania kufika kwenu ndiyo mafanikio ya sherehe hii. Sherehe zitaanza saa 11 na nusu jioni njoo mapema uwahi meza yako, usije kula chakula na kunywa ukiwa umesimama chakula kikakimbilia miguuni na ukashindwa kucheza music. Ma DJ wetu bora watatuchezesha mwendo wa ndombolo na rusha roho hadi kukuche, (Dress to Impress) Wote mnakaribishwa. Ukitaka kufika kwa kutumia train chukua N, Q kwenda Queens  hadi 36Th Street, Na tembea mtaa mmoja hadi 37Th St kunja kulia jengo litakuwa mkono wako wa kushoto.
Ticket zimeanza kuunzwa mbele ya desk la Tanzania Mission New York. Na pia unaweza kupa ticket hizo kupitia kamati ya maandalizi ya sherehe hiyo ya uhuru, kwa kupiga # hizi za simu, #347 663 0781, #917 557 3195, na #347 475 4313 pata ticket yako sasa.
 Address
 Claudio's Cafe II,
 32-23 37th Avenue. 
Astoria, NY 11101

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako