A

A

RAIS WA SOKA WA GHANA KUKAMATWA

Akufo amefikia maamuzi ya kutoa agizo hilo kufuatia makala ya uchunguzi iliyofanywa ikimuhusisha Kwesi Nyantekyi kudaiwa kuhusika katika vitendo vya ulaghai.
Maamuzi hayo ya Akufo Addo kutangaza kukamakwa kwa Kwesi Nyantekyiyamewashitua wengi kutokana na mahusiano ya wawili hao ambapo kwa mujibu wa CITI FM ya Ghana inaeleza kuwa wana urafiki.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako