Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara,Comrade Mwigulu Nchemba.Hii leo ataunguruma Geita Mjini katika Mkutano wa hadhara atakapo zungumza na Watanzania moja kwa moja Kupitia Star Tv Majira ya Saa 9:00 Alasiri hii leo.
Watanzania wote karibuni mfatilie Matangazo haya ya Moja kwa Moja.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako