A

A

KINANA AZIDI KUBOMOA YA CHADEMA ... VIGOGO MBALIMBALI WA CHADEMA WAJIUNGA CCM


 Aliyekuwa kiongozi wa Chadema, Ismail Gwau, akitupilia mbali bendera ya CHADEMA mara baada ya kutangaza kujiunga na chama cha CCM,katika Mkutano huo wa hadhara.
  Ismail Gwau, akionyesha kadi mpya ya CCM mbele ya Kinana na kuashiria kujiunga rasmi na CCM,Ikungi mjini.