A

A

WASANII BONGO MOVIE WAMNANGA JACKLINE WOLPER UKUMBINI MMH NI MANENO MAZITO ANGALIA HAPA WALICHOMWAMBIA..!

clip_image001  Msaanii Jackline Wolper akionekana na kibiyongo chake ukumbini.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wasanii bongo movie mwishoni mwa juma kwenye pati ya kundi hilo walitumia muda mwingi kumnanga msanii mwenzao Jackline Wolper eti anakisogo kama katuni Madenge.

paparazi ambaye alikuwepo ukumbini ilishuhudia wasanii wakimsema mwenzao kama hivi:
clip_image001[7] Msaanii Jackline Wolper akionekana na kibiyongo chake ukumbini.“Huyu nae kujishaua kwanza bichwa kama madenge angalia kichogo chake kule" Alisema mmoja wa wasanii wakubwa tu