Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mmoja wa baadhi ya
abiria waliokwama baada ya barabara ya Chalinze-Dar es Salaam kuharibiwa
vibaya na mafuriko

Rais akisalimiana na kuzungumza na wanafunzi na mtoto aliyemfuata na kumsalimia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,Mkuu
wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani
Kikwete wakikagua athari za mafuriko maeneo ya Ruvu Darajani na Visiga.(Picha na Freddy Maro)



