Mvua zilizonyesha juzi na jana usiku kucha jijini Dar es Salaam
zimesababisha madhara makubwa katika maeneo mbalimbali kama vile
uharibifu wa vyombo vya usafiri na nyumba kiasi cha kulazimisha watu
kuyakimbia makazi yao ili kujinusuru huku wengine wakishindwa kwenda
makazini na wanafunzi kutokuweza kuhudhuria masomo shuleni.
Hapa ni video 3 za taarifa ya ITV zikionesha athari za mafuriko hayo katika maeneo ya Mikocheni-Msasani Village, Mwananyamala, Uhuru-Kariakoo, Keko Mwanga, Makumbusho na Kinondoni-Ada Estate, Tegeta-Boko-Bunju.
Eneo la Mikocheni
Hapa ni video 3 za taarifa ya ITV zikionesha athari za mafuriko hayo katika maeneo ya Mikocheni-Msasani Village, Mwananyamala, Uhuru-Kariakoo, Keko Mwanga, Makumbusho na Kinondoni-Ada Estate, Tegeta-Boko-Bunju.
Eneo la Mikocheni