Video: Brazil vs S.A – Hiki ndicho Neymar na wenzake walichoifanya South Afrika jana
Mabao
matatu ya mwanasoka Neymar anayekipiga Barcelona, yaliisaidia timu ya
taifa ya Brazil kuiadhiri South Afrika katika rdhi ya nyumbani kwao.
Katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa huko South Afrika,
Brazil waliifunga SA 5-0, Neymar akifunga hat trick, Oscar na
Fernandinho wakimalizia mengine
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako