Nimeamkia Ziwa Tanganyika hii leo(Kigoma),Picha hizi hapa
Picha,Ziwa Tanganyika Kwa Mbali likonekana Upande wa Kigoma,Hii ni asubuhi ya tar.06/03/2014 katika pitapita za Habari Kwanza Blog imejikuta ikitegesha Camera yake kwenye hili Ziwa lenye Kina Kirefu zaidi Barani Afrika na kama sio Ulimwenguni
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako