A

A

Mvua zinazoendelea kunyesha Dar,huyu ndiye msanii aliyepata madhara ya kubomoka nyumba yake


mvuaMvua ambazo bado zinaendelea kunyesha jijini Dar na sehemu zingine na nchi ya Tanzania zimeonekana kuleta madhara hasa kwa wakazi ambao wanaishi kwenye makazi yenye mkondo wa maji,moja kati ya wasanii wanaotoka kwenye kwenye familia ya Bongo fleva ambaye aliwahi kufanya taarabu amekutwa na tatizo hili nae ni Babu Ayoub.
12
Bonyeza play kusikiliza.