A

A

Ungependa kujua alichopost Mrisho Ngassa kuhusu Amisi Tambwe wa Simba? Hiki hapa


tambwe-1
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Mrisho Ngassa juzi alifanya
kitu ambacho wapenzi wengi wa klabu yake ya Yanga wanaweza kuwa hawajawahi kukifikiria kama angekifanya – hii ilikuwa baada ya kutumia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter kutoa sifa kwa mshambuliaji wa kimataifa wa mahasimu wao klabu ya Simba – Amis Tambwe.BOFYA HAPA
Ngassa aliandika
ngassa tambwe

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako