Klabu yake ya Real Madrid walikataa rufaa kwenye chama cha soka
na rufaa yao ikatupwa, baada ya hapo Madrid wakakata rufaa tena kwenye
mahakama ya michezo nchini humo, na leo hii mapema mchana mahakama hiyo
ya michezo imetoa uamuzi wake kwamba Ronaldo alistahili adhabu yake
hivyo ataendelea kuitumikia.
Kwa maana hiyo mchezaji huyo ataukosa mchezo wa leo dhidi ya
Elche, huu ndio utakuwa mchezo wa mwisho katika kutumikia adhabu kwa
Ronaldo.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako