A

A

DR,SHEIN,Rais wa Zanzibar alipofungua Maabara ya Utalii



TA1A4723
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel leo asubuhi katika ufunguzi wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na upatikanaji wa Rasilimali fedha.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A4740
Baadhi ya watendaji wa Serikali wakiwa katika mkutano wa ufunguzi wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na upatikanaji wa Rasilimali fedha,uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
TA1A4756
Baadhi ya watendaji  na Maafisa mbali mbali wa Serikali wakiwa katika mkutano wa ufunguzi wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na upatikanaji wa Rasilimali fedha,uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A4757
Wajumbe wa mkutano wa ufunguzi wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na Upatikanaji wa Rasilimali fedha,wakimsikiliza Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bi Amina  alipotoa maelezo machache kuhusu maabara katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Zanzibar leo,ambapo mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein . [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A4760 TA1A4765 TA1A4765_1 TA1A4768 TA1A4850
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akifungua Mkutano wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na Upatikanaji wa Rasilimali fedha,katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo,(kulia) Waziri,Ofisi ya Rais na Utawala Bora,DK.Mwinyihaji Makame Mwadini na Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahya Mzee,(kshoto). [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A4870
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akifungua Mkutano wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na Upatikanaji wa Rasilimali fedha,katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako