A

A

Just In:Moto Wateketeza Nyumba Block T Mbeya,Mtoto wa Miezi 3 aafariki kwenye ajali hiyo.

Sehemu ya nyumba ya Ndugu Aden Mwambugu ambamo Ndugu Honest Shoo alikuwa amepanga ikiwa imeteketea kabisa.
Mjomba wa Marehemu akiwa amebeba mwili wa mtoto Clara Honest ambae ana umri wa miezi mitatu mwili wa mtoto huyo umeteketea kwa moto
Chumba ulimokutwa Mwili wa marehemu Clara Honest
Polisi wakiondoka na mwili wa mtoto huyo
Mwenyekiti wa mtaa wa Block T Ndugu Majembe akimwongoza Honest Shoo ambaye ni mfanyakazi wa Bank ya Posta kitengo cha masoko (mwenye shati nyeupe) kwenda kutoa maelezo kwa polisi waliofika katika tukio.
Mama mzazi wa mtoto Crala akilia kwa uchungu kulia ni binti wa kazi
Chanzo cha moto huo hakijajulikana:GREDIT:MATUKIO NA VIJANA
Picha kwa hisani ya
Luhanga

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako