A

A

Baada ya ukimya wa kutosikika Redioni, Dina Marios amepost hii picha

Screen Shot 2014-02-17 at 1.37.48 PMNi muda kidogo mtangazaji Dina Marious hajasikika kwenye Leo Tena ya Clouds FM ambayo amekua akiifanya, kama hukuwahi kupata jibu ni kwamba alikua mjamzito ambapo kwa sasa ameshajifungua na kushea hiyo picha ya mtoto wao, yeye na mtangazaji mwenzie Reuben Ndege maarufu Nchakalih.
Screen Shot 2014-02-17 at 1.37.57 PMScreen Shot 2014-02-17 at 1.46.00 PM
Screen Shot 2014-02-17 at 1.48.39 PM

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako