A

A

Picha ya Ajali aliyoipata OCD Wa Iringa Jana Jioni

Askari walilikuwa wakielekea katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM kata ya Nduli Iringa mjini wakitazama gari ambalo alikuwa akiendesha OCD Iringa lililopata ajali majira ya saa 10 jioni jumapili japo hakuna aliyepoteza maisha ktk ajali hii iliyotokea kona la Mgongo barabara ya Iringa-Dodoma
wasomi wa chuo kikuu cha Iringa wakitazama ajali hiyo ambayo dereva wake OCD Iringa alinusurika kifo na kuumia mkono wake kiasi

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako