Mchana wa leo katika dimba la Santiago Bernabeu mwanasoka bora wa
dunia, Cristiano Ronaldo aliionyesha kwa mara ya kwanza tuzo yake ya
Ballon D’or kwa mashabiki zaidi ya 80,000 waliojazana katika uwanja wa
nyumbani wa Real Madrid.
Ronaldo alishinda tuzo hiyo akiwapiku Lionel Messi na Frank Ribery ambaye alikuwa akipewa nafasi kubwa ya kushinda pia.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako