Bwana Ali Masoud au Maarufu kwa Jina la' Masoud Kipanya' na ambaye
Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Plus, akizungumza na wananchi waliofika
kushuhudia uzinduzi wa Maisha Plus/Mama Shujaa wa Chakula 2013
Kingolwira Morogoro , pia kumkaribisha Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya
Mvomero Mh. Anthony Mtaka kufanya uzinduzi huo.
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Anthony Mtaka, Akizungumza pamoja na
wakazi wa eneo la Kingolwira pamoja na wageni mbalimbali waliotoka
sehemu mbalimbali Tanzania na kutoa tamko rasmi la kuzindua shindano
la Maisha Plus/ Mama shujaa wa chakula 2013
Mshindi wa Shindano la Maisha Plus Bernick Kimiro akizungumza na
wageni wa alikwa pamoja na wenyeji wa eneo la Kingolwira Morogoro, kwa
kuwasisitiza vijana wajitokeze kuchukua fomu za ushiriki katika shindano
la Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula 2013 ambazo sasa zimesha anza
kutolewa na kuwaeleza kuwa shindano hilo linatoa Fursa nyingi za
kimaendeleo na kilimo kwa ujumla.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako