A

A

SENETOR SONKO KWENYE HEADLINE TENA BAADA YA KUEDIT PICHA AKIWA NA MANDEALA

SC20131211-123102

Seneta wa Nairobi,Kenya Mike Sonko  ni miogoni mwa watu wasio potea kwenye vichwa vya habari kwenye mitandao ya kenya Wiki hii story iliyo chukua headline kwenye mitandao mikubwa Duniai niile aliyopost picha akiwa na Raisi mataafu wa zamani wa Afrika kusini Hayati Nelson mandela aliyopiga na Mohammadi Alli na kuiedit kwa kuweka picha yake

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako