Picha 5 za namna Ndege Kubwa livyotua Ghafla Leo Arusha,Sijui itaondokaje
Ndege
aina ya Boeing 767 inayosadikiwa kuwa ni ya Shirika la Ndege la
Ethiopia imetua kwa dharura majira ya saa tisa alasiri katika kiwanja
cha kurushia ndege ndogo cha Arusha badala ya kiwanja cha ndege cha
Kimataifa cha Kilimanjaro, KIA.
Abiria zaidi ya mia mbili waliokuwemo kwenye ndege hiyo wamenusurika kifo, wanasubiri msaada ngazi waweze kushushwa.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako