A

A

Kwa Ufupi,Hii ndio habari ya Ajali ya Basi la Hood Hii leo kutoka Mbeya kwenda Arusha

Zinafanyika jitihada za kuchimba kumwokoa mtu mmoja aliyebanwa.

Mtu mmoja amekufa na wengine 27 kujeruhiwa baada ya basi la Hood Limited lenye namba za usajili T 159 AXM lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Arusha kupinduka eneo la Melela- Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro.
 Basi hilo lilikuwa likijaribu kulikwepa gari lingine na kuingia mtaroni.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako