A

A

TSN WAMFARIJI MRUMA, MWILI WA MWANAE JERRY WAWASILI DAR ES SALAAM

Baadhi ya wanafamilia ndugu jamaa na marafiki wa familia ya Isaack Mruma wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa marehemu Jerri Isaack Mruma ambaye ni Mtoto wa Mhariri Mtendaji wa zamani wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Isaack Mruma aliyefariki hivi karibuni jijini Nairobi Kenya kwa kunyongwa na watu wasio julikana. 

Mwili wa Jerry umewasili nchini leo na ndege ya shirika la Kenya Airways na anataraji kuzikwa kesho mchana makaburi ya Kinondoni baada ya ibada itakayo fanyika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Beach.
 
 Watoto wa Isaack Mruma, Kelvin Mruma (kulia) na kakayake Khan Mruma  wakipeana faraja pamoja na mwanafamilia mwenzao wakati wa kusubiri mwili wa ndugu yao.
Baadhi ya wanafamilia.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako