A

A

KURA ZA MAONI IRAMBA,MWIGULUNI IRAMBA NA IRAMBA NI MWIGULU,WAGOMBEA WENGINE WAJITOA BAADA YA KUISOMA NAMBA

Mwigulu Nchemba akiondoka Viwanja vya Shelui mara baada ya Mkutano wa Kampeni Kumalizika.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wake Kata ya Shelui wakati wa Mkutano wa Kampeni ya kura ya Maoni za UBunge kuwania kuteuliwa kupeperusha Bendera ya CCM Wilaya ya IrambaMwigulu Nchemba akilakiwa na Wananchi wake kijiji cha Tulya wilayani Iramba wakati wa kampeni za Kura ya Maoni ya kuwania Ubunge ndani ya CCM.
Mwigulu Nchemba akifurahia mwenendo wa kampeni za kura ya maoni na Wananchi wake.
MWigulu NChemba akiwa na Wagombea wenzake kabla hawajajitoa kwenye mbio hizo za kura ya Maoni ya kuwania Ubunge Jimbo la Iramba kwa tiketi ya CCM,Wagombea kuanzia kushoto ni Juma Kilimba,Davd Jairo Kitundu,Amon Gunda na Mwigulu Nchemba.Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa kata ya Mbelekesye kuhusu mambo mbalimbali ya Maendeleo aliyowafanyia ikiwamo kuwasha Umme Zaidi ya vijiji 48 ndani ya miaka 5,Ujenzi wa maabara na zahanati kwa kila kata ,Ujenzi wa barabara za kuunganisha kila kijiji,Uchimbaji wa visima kwa Zaidi ya Vijiji 50 n.k.Hivyo anaomba ridhaa ya kuendelea kuwatumikia wananchi kwa miaka 5 ijayo.Vijana wakimshangilia Mbunge wao kwa kazi alizofanya hivyo kumuunga mkono kwenye kura za maoni iliaweze kuteuliwa tena kuwawakilisha Bungeni kwa miaka 5 ijayo.Wananchi wakiwa wamemshikilia Mbunge wao Mh.MWigulu Nchemba iliasalimiane nao wakati wakura za Maoni.Mwigulu amekuwa akishangiliwa sana na Wananchi wa Iramba na wengi wanaonekana kumuunga mkono kutokana na alivyoweza kuibadilisha Taswira ya Jimbo la Iramba kimaendeleo na katika Sura ya Nchi.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako