A

A

MWANDISHI ATEKWA ARUSHWA, WAHUSIKA WADAKWA

Leo May 23, 2018 Ofisa itifaki katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Swalehe Mwindadi pamoja Mtunza kumbukumbu Amina Mshana wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha kwa kesi inayowakabili ya kumteka Mwandishi wa habari Lucas Myovela.
Awali watuhumiwa hao walikamatwa kwa tuhuma za Kumteka na kumshambulia mwandishi wa habari usiku wa kuamkia May 14, 2018.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako