A

A

SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHAABAN SIMBA AAMURU MSIKITI WA IJUMAA GONGONI UFUNGULIWE MARA MOJA



Sheikh mkuu wa Tanzania Mufti Shaaban Simba ameamuru Msikiti mkuu wa Ijumaa  Gongoni Tabora ufunguliwe haraka iwezekanavyo wakati alipokuwa katika mkutano wa kutatua mgogoro wa waislamu wa mkoa wa Tabora,mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Isike MwanaKiyungi ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora. 
Baadhi ya Waislamu wa mkoa wa Tabora ambao walihudhuria mkutano huo.

Sheikh wa wilaya ya Tabora Ramadhani Rashid akizungumza katika mkutano huo





Photo: #Waumini wa kiislam wafungu msikiti mjini tabora wakishinikiza sheikh wa mkoa shaban aliyeondolewa na bakwata kurejeshwa .

endelea kuwa nasi taarifa zaidi na picha utazipata hapa hapa.
Hali halisi iliyokuwepo leo baada ya waumini kufunga msikiti  wakipinga sheikh wa mkoa huo kuvuliwa madaraka na bakatwa.
                                                Chanzo kapipij blog

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako