A

A

Majambazi wameua tena Arusha.. hii ni June 1 2014. (tahadhari picha inaogopesha)


Screen Shot 2014-06-02 at 8.32.39 AMRafiki yangu ambae ni mwandishi wa habari wa Arusha255 amenipa ripoti fupi kwamba majambazi waliingia kwenye duka moja la kubadilishia fedha Clock tower karibu na house of wine Arusha mjini ambapo kifo cha huyu ndugu kilitokana na yeye kupiga kelele baada ya kuona majambazi hao wakitenda uhalifu.
Japo nasubiria ripoti kamili ya Polisi leo, taarifa za
mwanzo zinasema Marehemu alipiga kelele hizo muda mfupi tu baada ya kutoka kanisani na akawa anasubiri watoto wake kwenye eneo la tukio ila alipoona dada ndani ya duka kavamiwa ndio akaanza kupiga kelele za kuomba msaada. Screen Shot 2014-06-02 at 8.33.35 AM