HACKERS WAIBA AKAUNTI YA FACEBOOK YA MEYA WA ILALA JERRY SILAA
Napenda
kuwajulisha marafiki zangu wote kwamba akaunti yangu ya facebook
ime-hackiwa na kuanza kutuma ujumbe kwa marafiki zangu kuwataka waingie
kwenye link kwani nina maongezi ya siri.
Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa.
Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Jerry Silaa
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako