“Hi Dayna, sikufichi ulikua unahusika/
au mtoto wa uswazi ‘ akijichubua ‘ haimaanishi anaukimbia uafrika?/
nisikize Dayna..please.. najua uko busy kiaina na hizi ni aina tu za uchizi au kama vipi bye DAYNA/
HUUH.. now back to you fools/
au mtoto wa uswazi ‘ akijichubua ‘ haimaanishi anaukimbia uafrika?/
nisikize Dayna..please.. najua uko busy kiaina na hizi ni aina tu za uchizi au kama vipi bye DAYNA/
HUUH.. now back to you fools/
Soudy brown kamtafuta Fid Q
ambapo alipoulizwa kuhusu hili majibu yake alidai kuwa katika ngoma hiyo
hamzungumzii Dayna Msanii bali anamzungumzia Dayna msichana anayeishi
nae kitaani maeneo ya Mikocheni kwa Nyerere.
Dayna huyo wa kiafrika alikua
mweusi sasa hivi amejichubua ngozi yake na kuwa mweupe ambapo baadae Fid
Q aliuchambua kiutaalam mstari huo na kusema kuwa wadada wanaofanya
hivyo wanaua melanie.
Ambacho ni kitu muhimu sana
kwenye ngozi na hupatikana zaidi kwenye ngozi nyeusi ya kiafrika
chembechembe ambazo huilinda ngozi isiunguzwe na jua.
Majibu ya Dayna baada ya
kupigiwa simu na Soudy Brown kutaka kujua kama ameshaisikia hiyo line ya
Fid Q alichokijibu ni ameisikia na anamuheshimu Fid Q kwa wazo lake ila
kwa wakati huu amepunguza kidogo kutumia mikorogo.