AJALI, COASTER YAPATA AJALI LEO HII MOMBO NA KUJERUHI KADHAA
Ajali imetokea mombo leo hii. Coastal iliyoanguka ilikuwa na watu 25,
Mungu kasaidia hakuna aliyekufa. Hongereni sana madaktari wa Magunga
kwa kazi nzuri! - Mkuu wa wilaya ya Lushoto, Mrisho Gambo.
Tunawapa pole majeruhi wote na tunawatakia nafuu ya haraka