Afisa mwengine katika kambi hiyo ya Malmstrom mjini Montana amejiuzulu.
Wachunguzi wanasema kuwa maafisa hao wa jeshi walihisi kulazimishwa kupasi asilimia 100% katika kila mtihani.
Uchunguzi huo umebaini kuwa maafisa hao hawakushiriki katika udanganyifu lakini walishindwa kutoa usimamizi wa kutosha
Udanganyifu huo ulibainika kufuatia uchunguzi wa utumizi wa mihadarati katika kambi hiyo.
BBC