A

A

Tazama Unyama huu wa Kutisha,Mtoto achomwa Moto Mikono Kisa Finyango Mbili za Nyama

 
Breaking newss Ukatili dhidi ya watoto Mbeya bado ni tishio Baba mzazi amchoma moto mwanae mikono yote miwili baada ya kula finyango mbili za nyama Habari kamili tutawaletea baadae Mbeya yetu blog Wapo kwenye tukio