A

A

MOYO WA KALA JEREMIAH WATESWA NA MSANII WA BONGO MOVIES..!! NI BAADA YA KUZIONA PICHA ZA MITEGO ZA MSANII HUYO..!!

MSANII kutoka jiji la Mwanza ambaye alipata umaarufu kupitia Shindano la BSS amevunja ukimya na kusema mambo mengi juu ya Msanii wa Filamu ambaye wanatoka wote jiji moja la Mwanza ambaye anajulikana kwa jina la Suzane Michael. Kala alifunguka hayo na kusema kuwa "Nawashangaa sana hawa madada zetu yani wao wanaona kujiachia ndiyo wataishi mjini, huyu dada mimi namfanhamu na sikutegemea kama ataweza kupiga picha za hivi na kuziweka mtandaoni yani kwa hiki kitendo ameuvuruga moyo wangu na kuuchafua kabisaaaa" alisema Kala
Mwanadada Suzane Michael Hata ivyo kala alizidi kuongeza "Unajua kule kwetu Mwanza mtoto wa kike anajiheshimu sana na ndiyo maana wanazidi kupendeza ila wakija Dar tu kila kitu kinakuwa nyuma mbele mbele nyuma." aliongezea,