Mengine Kuhusu Marehemu Magwair na Hii Project Mpya Kwaajili Yake
Producer
mwenye vipaji vingi,Mswaki ambaye pia ni mmiliki wa studio ya Black
Curtains Records, ana project inaitwa Keeping Ngwair Alive, itakua ni
album yenye ngoma kadhaa, Mswaki pia ana rap kwa kutumia style ya Albert
Mangwea.Imefahamika kuwa marehemu albert mangwea aliwahi kumkataza producer mswaki kutumia style yake. Tayari
Mswaki ameshaachia ngoma mbili mojawapo ni Open Later na nyingine
inaitwa Ghetto ambayo ameachia hivi karibuni,Clouds fm ilimuuliza
mswaki, je kama Ngwea angekua hai angerap kwa style hiyo?Mswaki
pia amezungumzia mpango wake wa kwenda kupata baraka za mama albert,
kabla ya kuifanya project hiyo kwa ukubwa zaidi ambapo anatarajia
kuondoka kesho kuelekea Mkoani Morogoro kuongea na familia ya Mangwea.
Swali je, Mswaki atakubaliwa kufanya anachokifanya kutoka kwa familia ya
Albert Mangwea?