
Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini’ .
Kumbe!
Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide
amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa
wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi?“Gardner ananipenda sana na mimi pia vilevile nampenda sana mume wangu. Mapenzi yetu yamepitiliza hadi tunajiona kama vile tumezaliwa tumbo moja na ndiyo maana nawaambia kuwa mimi na yeye tunaishi kama kaka na dada,” alifunguka Jide.
“Mimi hapa sina simu, anayo mume wangu lakini wakati mwingine nakuwa nayo mimi ila muda mwingi anakuwa nayo Gardner,” alimalizia Jide.
-GPL