A

A

Wasanii 6 wa bongo Wanaoongoza kumiliki magari ya gharama

06. Ommy Dimpoz
Dimpoz anamiliki Mark x yenye thamani ya zaidi  ya milioni 30.
Ommy-Dimpoz-Gari-lake-Copyright-www-vibe-co-tz
05 . Ney wa Mitego
Ney wa mitego naye anamiliki gari aina ya Mark X yenye dhamani ya shillingi milioni 35.
ney-wa-mitego-gari-lake-Copyright-www-vibe-co-tz

04 . Wema Sepetu
Wema Sepetu anamiliki gari aina ya
Audi Q7 yenye thamani ya kuanzia milioni 70 kuendelea.
Wema-Sepetu-gari-lake-copyright-www-vibe-co-tz
03 . Lady Jaydee
Jay dee anamiliki gari aina ya  Range Rover Evoque linalokadiriwa kwenye milioni 65 hadi 72  hivi.
Lady-jay-dee-gari-lake-copyright-www-vibe-co-tz
02. Irene Uwoya
Irene Uwoya ana miliki gari aina ya Mercedes Benz S Class 550 Sedan yenye rangi ya Black metalic ambayo thamani yake inakadiriwa zaidi ya millioni 153.
Irene-Uwoya-Gari-Yake-Copyright-www-vibe-co-tz
01 . Diamond Platnumz
Anamiliki gari aina ya TOYOTA LAND CRUISER V8 200 lenye thamani ya shillingi millioni 245  za kitanzania.
Diamond-Platnumz-Gari-lake-copyright-www-vibe-co-tz

Vibe

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako