A

A

Roben aonekana akimtemea mate Sagna wakati wa mchezo kati ya Arsenal dhidi ya Bayern Munich

Mchezo wa Ligi ya Mbaingwa barani Ulaya uliopigwa jana kati ya Arsenal ya England dhidi ya mabingwa watetezi, Bayern Munich ya Ujerumani katika dimba la Emirates jijini London, uligubikwa na kila aina ya vituko ambavyo kuna baadhi ya mashabiki wanadai kuwa ni sehemu ya mchezo na wengine wakidai siyo uungwana.Sahau kuhusu kadi nyekundu ya mlinda mlango wa Arsenal Wojciech Szczesny ambaye anadaiwa pia kuonesha alama zisizofaa ambazo huenda akaadhibiwa na UEFA

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako