A

A

Picha:Kesi ya Sheikh Ponda Issa Ponda imeitwa hii leo na imekuwa hivi

Sheikh Ponda Issa Ponda akitolewa mahakamani kuelekea kwenye gari.

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kufuatilia kesi ya kiongozi wao.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa wakati Sheikh Ponda akipandishwa kwenye gari.
Ulinzi mkali eneo la mahakama.
Sheikh Ponda akitolewa eneo la mahakama.
KESI ya uchochezi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo imetajwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Augustine Mwarija na kuahirishwa mpaka Februari 26 mwaka huu itakapotolewa hukumu ya dhamana!
(PICHA: DENIS MTIMA NA HARUNI SANCHAWA / GPL)

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako