
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Bahati maarufu kwa uuzaji wa mifuko ya plastiki maeneo ya stand kuu ya mabasi Bukoba amekutwa kajinyonga juu ya mti maeneo ya ufukwe wa Spice Motel majira ya saa nane mchana ..
Taarifa
za awali kutoka kwa watu waliokuwa katika tukio hilo zinasema kuwa ,
kabla ya kifo cha, marehemu alionekana akiwa na mafurushi ya vitu na alikuwa akifua katika eneo hilo la ufukwe...
Mtu
mmoja ambae hakuwa tayari kutaja jina lake ameueleza mtandao huu
kuwa leo majira ya saa 12.00asubuhi alisalimiana na marehemu maeneo ya
stand ya mabasi akiendelea na shughuli yake ya kutembeza mifuko ya
plastiki kwenye mabasi yaendayo mikoani na maeneo mengine akiwa mzima
wa afya.
Mwili wa marehemu umepelekwa Hospital ya Mkoa wa Kagera kuifadhiwa kwa ajili ya utambuzi ( ndugu zake )

Askari akiwa amepanda mti ili aweze kukata kamba aliyotumia kujinyonga

Amekutwa katika hali hii

Haijafahamika ni kwa nini kachukua maamuzi haya


Mwili wa marehemu ukishushwa

Kamanda wa polisi wilaya ya Bukoba akishuhudia tukio

Wananchi waliokusanyika katika tukio



Mkuu wa kituo cha polisi Bukoba(mwenye koti) akiwa anaangalia baadhi uya vitu vya marehemu alivyokuja navyo kabla ya kujinyonga

Hivi ni vitu vya marehemu alivyokuja navyo babla ya kujinyonga






Maeneo ya spice beach

Mmoja wa watu wa kwanza kutoa taarifa kituo cha polisi Mama Faima


Mwili wa marehemu ukipakiwa kwenye gari la polisi

Mwili wa marehemu ukipelekwa kuifadhiwa hospital ya mkoa wa kagera.
Askari akiwa amepanda mti ili aweze kukata kamba aliyotumia kujinyonga
Amekutwa katika hali hii
Haijafahamika ni kwa nini kachukua maamuzi haya
Mwili wa marehemu ukishushwa
Kamanda wa polisi wilaya ya Bukoba akishuhudia tukio
Wananchi waliokusanyika katika tukio
Mkuu wa kituo cha polisi Bukoba(mwenye koti) akiwa anaangalia baadhi uya vitu vya marehemu alivyokuja navyo kabla ya kujinyonga
Hivi ni vitu vya marehemu alivyokuja navyo babla ya kujinyonga
Maeneo ya spice beach
Mmoja wa watu wa kwanza kutoa taarifa kituo cha polisi Mama Faima
Mwili wa marehemu ukipakiwa kwenye gari la polisi
Mwili wa marehemu ukipelekwa kuifadhiwa hospital ya mkoa wa kagera.
No comments:
Post a Comment
Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako