A

A

BASI LAPATA AJALI WILAYANI MAKETE BAADA YA KUGONGANA NA TOYOTA LAND CRUISER


Hii ni ajali mbaya iliyohusisha basi la kampuni ya Penguin linalofanya safari zake kati ya Makete - Njombe, baada ya kugongana na toyota land cruiser jana Jumamosi Februari 22, katika kijiji cha Mang'oto wilayani Makete

basi hilo lilikuwa likitokea Njombe kwenda makete, hadi mwandishi wetu ambaye pia amenusurika kwenye ajali hiyo anaondoka eneo la tukio, hakuna vifo ila baadhi ya abiria wamepata mchumbuko na wengine kukatwa na vioo (majeraha madogo madogo)

Taarifa kamili ya ajali hiyo pamoja na picha zitakujia baadaye kidogo, inaendelea kuiandaliwa ili uipate kikamilifu.

No comments:

Post a Comment

Toa maoni yako lakini angalia kuchafua hali ya hewa na usimuumize mwenzako